The Tanzania's star met a disheartening reception during a show organized in Stuttgart, Germany last weekend. Diamond who was scheduled to perform from 10pm showed up at 4am the next only to meet a angry n dissatisfied fans who went on a rampage destroying equipment at the scheduled club. The show tickets were going at €25.




However, diamond has come out defensive putting all the blames on the promoter

"Kiukweli nimesikitishwa sana na uandaaji wa kampuni hii ya BRITTS EVENTS iliyoandaa show ya Stuttgart Germany… kinachoniuma na kunisikitisha zaidi ni jins watu walivyoamua kujitolea kuja kwa wingi kutusupport vijana wao, halaf mwisho wa siku promoter anatupeleka wasanii kwenye show saa kumi alfajiri… najua ni kiasi gani mmeumia na kuwa disappointed… lakini naomba mtambue kuwa halikuwa ni kosa langu, coz mimi ni mgeni tu, na nafata maelekezo ya promoter…hivyo nisingeweza kujiamulia kuja muda ninaoutaka mimi…." Explains Diamond.

1 comments:

  1. to whoever writes these articles,
    please go back to class one and learn basic English..please

    ReplyDelete

 
Top